TAARIFA KAMILI NA PICHA ZA AJALI MBAYA YA MSAFARA WA MWENGE MKOANI DODOMA
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Bi. Suzzan Kaganda Akiongea na waandishi wa Habari hawapo pichani, Katika ukumbi wa Mikutano wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma Kuhusia na ajali iliyotokea katika...
View ArticleMAMA TUNU PINDA AZINDUA MRADI WA KUSAIDIA WATOTO WAKIKE NCHINI
Mgeni rasimi Mama Tunu Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa huduma ya kumsadia mtoto wakike kushoto kwake ni mkururugenzi Mtendaji wa Tmarc Bibi Diana Kisaka ambao ndio wandaji wa mradi huo kulia...
View ArticleBalozi Seif atembelea Ofisi ya uratibu wa shughuli za SMZ Dar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa na Mkurugenzi wa Shughuli za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dar es salaam Shumbana Taufiq kabla ya kuanza ziara yake katika Taasisi za...
View ArticleStar wa "Prison Break" Wentworth Miller (Scolfield) amejiweka wazi kuwa yeye...
Star wa "Prison Break", Wentworth Miller a.k.a Michael Scofield, amejitangaza kuwa yeye ni "Gay" (shoga), katika barua ya wazi aliyoiandika kwenda kwa Directoe wa St. Petersburg International Film...
View ArticlePICHA ZA UTUPU ZA MSANII MANAKI SANGA NA WASICHANA ZAMPONZA, AKAMATWA NA...
Pacha wa Lulu Diana Kimario " Mikogo" huyu Huyu bint inasemekana ni mwanafunzi wa chuo ambae ni raia wa Kenya anaesoma nchini pia ilidaiwa ni mtoto wa Waziri mmoha nchini humoHuyu nae amewahi kupangiwa...
View ArticleTASWIRA MBALIMBALI KATIKA SEMINA YA FURSA YA CLOUDS MEDIA GROUP MKOANI TABORA.
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Diamond, akiwaimbisha washiriki wa semina ya Fursa waliojitokeza kwa wingi mapema leo kwenye ukumbi wa Student's Center uliopo katikati ya mji wa mkoa wa...
View ArticleSHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MUGABE WA ZIMBABWE JIJINI HARARE
Rais wa Zimbabwe Mhe Robert Gabriel Mugabe akila kiapo katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa kwake jana Agosti 22, 2013. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na...
View ArticlePINDA AFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI MANYARA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama asali wakti alipotembela Banda la Halmashauri ya Wilaya Mbulu kabla ya kufungua kongomano la Kwanza la Uwekezaji katika mkoa wa Manyara mjini Babati Agosti 22,...
View ArticleMISS TANZANIA BRIGITTE AANZA UJENZI WA BWENI LA WANAFUNZI ALBINO MKOANI...
Miss Tanzania 2012-013, Brigette Alfred aliweka jiwe la msingi katika ujenzi wa bweni la wavulana shule ya msingi Buhangija akiwa pamoja na afisa elimu wa manispaa ya Shinyanga Honoratha Ruhumbika....
View ArticleTMAA YAWANASA WATOROSHAJI WA MADINI
Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TMAA Bruno Mteta, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu madini yaliyokamatwa. wa pili kushoto ni Ofisa habari wa TMAA, Mhandisi, Yisambi...
View ArticleBATULI: WADADA WENGI WA BONGO MOVIE TUNAPENDA KUCHUKULIANA MABWANA
MWIGIZAJI wa kike wa filamu Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefunguka kwa kuongelea ugomvi na chuki ambazo zimekuwa zikiripoti kwa akina dada kutoka Bongo movie sababu kubwa ni ugomvi wa kuibiana wanaume...
View ArticleBODI YA UKAGUZI YAIPIGA STOP FILAMU YA FOOLISH AGE YA LULU
Bodi ya ukaguzi wa filamu na michezo ya kuigiza nchini imeipiga stop filamu ya Foolish age ya msanii wa kike mwenye mvuto Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ baada ya kukuta picha zilizo nje ya maadili ya...
View ArticleRAIS KIKWETE AAPISHA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU DAR ES...
Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu Kiongozi Mhe Ombeni Sefue wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa ofisi ya Sekretariate ya Baraza la Mawaziri ambako watumishi wake wawili wameteuliwa kuwa...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM TAIFA AWASILI DODOMA, AFUNGUA KIKAO CHA KAMATI KUU YA...
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono Viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi waliofika uwanjani kumlaki. Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
View ArticleMshindi wa Nyumba ya Airtel Yatosha Atembelea nyumba yake
Mkurugenzi wa kitengo cha mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya akikata utepe na familia ya Mshindi wa nyumba wa promosheni ya Airtel yatosha shinda nyumba bwana Silvanus Juma (wa kwanza...
View ArticleBaada ya Ney wa Mitego kumchana, Madam Ritta ampa big up na kumkaribisha...
Kupitia U Heard na Gossip Cop leo, madam Ritta aongea juu ya tetesi kuwa yupo katika mipango ya kumfungulia mashtaki Ney na kumdai shilingi millioni 500 pamoja na ku-record album nzima kwa kumsafisha...
View ArticleUNIC yawataka vijana kujitambua mapema ili kujenga taifa litakalokuwa na...
Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyampulukano ya Wilayani Sengerema Mwl. Vedastus Mlokozi wakati...
View ArticleMh. Mnyika azindua rasmi Taasisi ya Maendeleo Ubungo UDI kwa lengo la...
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mh. John Mnyika akizungumza na waandishi wa habari wakati akizindua rasmi taasisi aliyoiasisi ya “Ubungo Development Initiative-UDI” inayoendesha kampeni ya ‘Changia Maabara...
View ArticleWadau mnaopenda ‘Burger’ someni hii..!!
Mwanamke mmoja achomoka taya akipanua mdomo kung’ata ‘burger’. Mwanamke mmoja nchini Uingereza amelazimika kwenda hospitali kuunganishwa tena taya yake baada ya taya hiyo kufyatuka mahali pake wakati...
View Article