Quantcast
Channel: MWINYI BLOG
Browsing all 3319 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKI JINSI OMMY DIMPOZ ALIVYOPOKELEWA KWA KISHINDO BURUNDI

WASHABIKI WALIFUNGA NJIA POLISI WALISHINDWA KUWAZUIA. OMMY DIMPOZ KUANZA TOUR YAKE MAREKANI MWEZI WA TISA TAREHE 21 WASHINGTON DC !!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZAIDI ZIKIONESHA JINSI SHEKH PONDA ALIVYOUMIZWA KWA RISASI

KATIBU WA JUMUIYA ZA KIISLAMU TANZANIA SHEKHE ISSA PONDA NI KWELI HAPO JANA ALIPIGWA RISASI NA KWASASA YUPO HOSPITALI YA RUFAA YA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAIDI NA SI KWELI KAMA YUPO CHINI YA ULINZI WA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga kama Simba, Ngassa atupia moja wakiiua Sc Villa 4-1

Na Prince Akbar YANGA SC imetuma salamu Johannesrbug, Afrika Kusini ambako Azam FC wameweka kambi kujiandaa na msimu mpya- kufuatia ushindi wa mabao 5-1 leo katika mchezo wa kirafiki dhidi SC Villa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROBIN VAN PERSIE AIPA MAN U KOMBE LA NGAO YA HISANI KWA MABAO YAKE 2-0 DHIDI...

Robin van Persie (katikati) akiruka kupiga mpira wa kichwa na kufunga bao la mapemba katika dakika ya sita wakati wa mchezo wa Ngao ya Hisani kati yao na Wigan katika Uwanja wa Wembley. Wachezaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NOMINATION DIARY- FEZA KESSY ATOLEWA KATIKA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRICA

“I feel like it is over for me,” Fezaconfessed to Biggie during her Nomination Diary session this evening.When Big Brother asked her to clear up what she meant by this, she said: “I have lost hope but...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taswira za show ya mwanamuziki dkt jose Chameleone,alivyowakuna wakazi wa...

Pichani juu ni sehemu ya mamia ya mashabiki na wapenzi wa muziki wakifurahia nyimbo wakati wa tamasha la Valuvalu lililofanyika kwenye ufukwe wa Escape Complex jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Tamasha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKI JINSI EXTRA BONGO NA TOT WALIVYOTOA BURUDANI DAR LIVE EID PILI

Aziza Kimsi wa TOT Taarab akiimba. Wanamuziki wa TOT wakiimba. Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choki, akiimba wimbo wa Mtenda Akitendewa. Wanamuziki wa Extra Bongo wakiwa kazini. Ally Choki na mnenguaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DADA DINACARES YALA CHAKULA CHA MCHANA NA WATOTO YATIMA AZULA BEACH KAWE.

Mratibu wa hafla hiyo,Dina Marios kutoka Dada Dina Cares (pichani Mbele),akiwa sambamba na baadhi ya Wadau waliojitokeza kuifanikisha hafla hiyo ya chakula cha mchana na watoto Yatima kutoka vituo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA MALAWI BANDA AMWANGUKIA RAIS KIKWETE ... USHAHIDI HUU HAPA

Kumbe muoga eenh? Rais wa Malawi, Joyce Banda akipiga magoti kumwamkia Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, katika moja ya matukio yaliyowakutanisha marais hao. Katika miaka ya hivi karibuni Tanzania na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA UMOJA WA WANAZUONI WA KIISLAM TANZANIA KUHUSU TUKIO LA SHEIKH PONDA

TAMKO LA UMOJA WA WANAZUONI WA KIISLAMU TANZANIA KUHUSU TUKIO LA SHEIKH PONDASisi, Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania (Hay – atul Ulamaa), tumepokea kwa masikitiko makubwa habari za kushambuliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DANGURO LA UCHI LAFUMULIWA BUGURUNI DAR, GHARAMA YA CHUMBA NI 1200/=...

JUMBA linalodaiwa kutumika kuendesha shughuli za ukahaba limebainika kuwapo katika eneo la Buguruni, jijini Dar es Salaam.Uchunguzi uliofanywa na Tanzania Daima, umebaini kuwapo kwa jumba ambalo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwana F.A na A.Y nao wasachiwa kupita kiasi kwenye airport ya huko South Africa

Msanii Madee alivyokuwa airport huko South Africa alipekuliwa sana kutokana na historia ya kukamatwa kwa watanzania na madawa ya kulevya kwenye viwanja vya ndege vya huko South Africa. Tukio hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hivi ndiyo Wema Sepetu alivyosherekea sikukuu ya Eid

Sikukuu kila mtu huwa anapenda kuisherekea kitofauti zaidi. Hivi ndivyo muigizaji Wema Sepetu aliamua kuisherekea kwa upande wake, alitumia muda wake wa sikukuu ya Eid kukaa pamoja na wazazi wake wote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASHIDI MATUMLA MANENO OSWARD WAPAMBANA TENA KWA MARA YA NANE

Bondia Rashidi Matumla kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Maneno Osward wakati wa mpambano wao uliofanyika katika uwanja wa jamuhuri morogoro wakati wa sikukuu ya iddi pili mchezo huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALTER CHILAMBO AVUNJA UKIMYA BAADA YA NEY WA MITEGO KUMCHANA KWENYE WIMBO...

Walter Chilambo amevunja Ukimya Baada ya Kuchanwa na Ney Kuwa Ana Maisha Duni Licha Ya Kushinda Milioni 50 za EBSS Baada ya maneno na tuhuma nzito za Ney wa Mitego dhidi ya Mshindi wa Epiq Bongo Star...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEKH KUNDECHA ATAKA KUUNDWA TUME KUPIGWA RISASI KWA SHEHE PONDA

Shehe Kundecha akizungumza na waumini wa Kiislamu katia msikiti wa Mtambani jana alasiri. Baadhi ya waumini wa Kiislamu wakimsikiliza.… wengine walikuwa juu ghorofani. Wakili wa Shehe Ponda, Juma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDD'S MISS ILALA IS AROUND THE CORNER

Warembo wanaotarajia kushiriki Redd's Miss Ilala, wakiwa wamepozi wakati wa mazoezi kwenye Mgahawa wa Billicanas, Dar es Salaam, tayari kwa mashindano yatakayofanyika Ijumaa kwenye Ukumbi wa Golden...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FLAVIANA MATATA AITOA KIMASOMASO TANZANIA, AFRIKA NA KIMATAIFA

Flaviana Matata Ashika nafasi ya juu Afrika na Kimataifa kwa kipatoNa Mwandishi Wetu NYOTA ya mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania, Flaviana Matata amezidi kung’ara baada ya kuingia katika orodha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE APOKEI HATI YA UTAMBULISHO YA BALOZI WA UHOLANZI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi Mteule wa Uholanzi hapa nchini Mhe Jaap Frederiks Ikulu jijini Dar es salaam. (Picha na Ikulu) Rais Jakaya Kikwete...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la Afrika lafana Marekani

Tanzania iliwakilishwa vyema kwenye tamasha hilo la kila mwaka liitwalo FestAfrica lililofanyika mwishoni mwa juma huko Silver Spring Md na kuhudhuriwa na mamia ya wakazi. Fashion ya mavazi ya Afrika....

View Article
Browsing all 3319 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>