Quantcast
Channel: MWINYI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

Taswira za show ya mwanamuziki dkt jose Chameleone,alivyowakuna wakazi wa jiji la dar mwishoni mwa wiki

$
0
0


Pichani juu ni sehemu ya mamia ya mashabiki na wapenzi wa muziki wakifurahia nyimbo wakati wa tamasha la Valuvalu lililofanyika kwenye ufukwe wa Escape Complex jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya Prime Time Promotions na kudhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania. Msanii kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Jose Chameleone, ndiye aliyekuwa msanii rasmi wakati wa tamasha hilo.


Msanii kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Jose Chameleone, akiwapagawisha amlefu ya mashambiki waliohudhuria tamasha la Valuvalu katika ukumbi wa Escape Complex jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya Prime Time Promotions na kudhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania.

Msanii kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Jose Chameleone, akiwa na baadhi ya mashambiki kwenye jukwaa ambao walihudhuria tamasha la Valuvalu katika ukumbi wa Escape Complex jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya Prime Time Promotions na kudhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania.

Maelfu ya mashabiki was muziki wakifurahia nyimbo wakati wa tamasha la Valuvalu lililofanyika kwenye ukumbi wa Escape Complex jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya Prime Time Promotions na kudhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania. Msanii kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Jose Chameleone, ndiye aliyekuwa msanii rasmi wakati wa tamasha hilo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>