TASWIRA: COASTAL UNION YAIBANJUA OLJORO 2-0 JIJINI ARUSHA KATIKA MECHI ZA...
Kikosi cha leo hiki kilichoanza dhidi ya Oljoro JKT. Yayo Kato akituliza mpira mbele ya Majaliwa Mbaga wa JKT Oljoro. Mashabiki wa Coastal Union waliuteka uwanja wa Sheikh Amri Abeid leo. Watu wote...
View ArticlePicha: Tazama picha (20) za Utengenezaji wa filamu mpya wa wastara na Hemedy.
(picha kwa hisani ya bongo movies)
View ArticlePICHA ZA MATUKIO YALIYOJILI SERENGETI FIESTA 2013,SINGIDA MOTEL
Msanii Muigizaji wa filamu na muziki wa bongofleva,Shilole pichani shoto akiimba mbele ya maelfu ya wakazi wa Singida waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la serengeti fiesta 2013,ndani ya Singida...
View ArticleHUU NDIO MWONEKANO WA HEMEDY BAADA YA KUPATA AJALI
Muigizaji Hemedy Suleiman ambaye pia ni mwanamuziki wa Bongofleva amefunguka kuwa anaendelea vizuri baada ya kupata ajali mbaya ya gari na gari hilo kudaiwa kuharibika. Hemedy alikuwa akimsindikiza...
View ArticleFinally Dillish wins Big Brother The Chase!
After expressing her desires to be the first woman to win the Big Brother grand prize since Zambia's Cherise did so seven seasons ago, Dillish has done it for all of Africa's women! The gorgeous...
View Article2013 MTV Video Music Awards Red Carpet Arrivals
The wildest and most watercooler-worthy fashions in music are always on display at the MTV Video Music Awards! Who really rocked the red carpet this year? Let's find out. CLICK HERE TO VIEW MORE...
View ArticleREDD'S MISS TZ WAWASILI KAMBINI GIRAFFE VIEW
Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakiwasili katika kambi ya taifa ya warembo hao kwenye Hoteli ya Giraffe Ocean View jijini Dar es Salaam. Warembo 30 wataanza kambi hiyo leo. Mkurugenzi wa LINO Agency...
View ArticleBIG BROTHER THE CHASE: FINALE SHOW (SUNDAY AUGUST 25, 2013)
Dillish and IK. IK and Cleo. BIG BROTHER: THE CHASETHE CHASE IS OVER AS DILLISH TAKES HOME USD300 000 Namibia’s Dillish emerged victorious on Big Brother: The Chase tonight (25 August) after 91 days...
View ArticleOna Jinsi Bar ya Samaki Samaki-Mbezi ilivyoteketea Kwa Moto Leo
Hii ndiyo Baa ya Samaki Samaki ikiteketea kwa moto leo baada ya kutokea Hitilafu ya Umeme wakati baa hiyo ilipokuwa ikibomolewa leo ili kupisha upanuzi wa barabara hiyo inayoendelea kujengwa, ambapo...
View ArticleMaandalizi ya Ray C kurudi kwenye muziki, imebidi aingie gym kama hivi
Zaidi ya sauti yake na uwezo mkubwa wa kuimba nyimbo zinazoshikika kiurahisi, umaarufu wake mwingine mkubwa toka enzi hizo ni kiuno bila mfupa kwa jinsi alivyokua akicheza nacho….. ni uwezo uliofanya...
View ArticleKOCHA SUPER D ,YASSIN ABDALA WAMPOKEA FRANCOIS BOTHA LEO PAMOJA NA RAIS WA WBF
Mgeni rasmi katika mpambano wa Kimataifa wa Ubingwa wa WBF Bondia bingwa wa Dunia wa Uzito wa Juu Zamani, Francois Botha 'Wwite Buffalo' katikati baada ya kupokelewa alipowasili katika uwanja wa...
View ArticleMAMA AJIFUNGUA WATOTO WAWILI WALIOUNGANA DAR, MMOJA HANA KICHWA
Mkazi wa Jang'ombe Visiwani Zanzibar, Pili Hija (24), amejifungua watoto walioungana huku mmoja akiwa hana kichwa.Watoto hao ambao wapo Wodi namba 36 katika Jengo la Wazazi la Hospitali ya Taifa...
View ArticleHII NDIYO STAILI MPYA YA UCHEZAJI ALIYOKUJANAYO SHILOLE KWENYE SERENGETI...
Mie naiita hamasa za ngono mduara maana uchezaji wake ni balaa tupu, Ona sasa bikini shanga zote nje!
View ArticleGRAND MALT YAMWAGA VIFAA LIGI KUU ZANZIBAR
Mwakilishi wa timu ya KMKM ya unguja Said Mfaume akipokea jezi toka kwa Waziri wa habari,utalii na michezo Zanzibar Said Mbarouk tayari kabisa kwa kuanza kwa ligi kuu ya Grandmalt Zanzibar,Kulia ni...
View ArticleMDAU BOKHE ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE
Bokhe akikata keki kama ishara ya kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake katika hafla fupi ya chakula cha jioni iliyofanyika Kebbys Hotel Mwenge jijini Dar es salaam jana ambapo alijumuika na marafiki...
View ArticleDiamond kupagawisha Nyumbani kwao Kigoma na Style ya ‘Kikwetu Kwetu’.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye amezidi kujijengea heshima ndani na nje ya nchi Nasib Abdul maarufu kama Diamond akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar wakati wa uzinduzi rasmi wa ziara...
View Article