Quantcast
Channel: MWINYI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

(Photo's) Utengenezaji wa video mpya ya NAS TATU “NIWEJE”

$
0
0


Nas Tatu msanii mkali anayekuja kwa kasi sana kwenye tasnia ya bongo hip hop, wiki ile iliyoisha alikuwa akishoot video yake mpya aliyoifanya na Izzo B pamoja na Dev Zinda msanii kutoka THT. Wimbo unaitwa NIWEJE na video imefanywa na Dir Nick Dizzo na naambiwa ndani ya hii video yupo dada wa tumbo moja wa msanii Diamond anaitwa ESMA kama unavyomwona picha hiyo ya juu akiwa na Nas 3, dada huyu yeye kacheza kama video queen na mbwembwe zake mtakuja kuziona soon video ikitoka.
Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

Trending Articles