![]()
Mastaa wa filamu Bongo, Dk. Cheni (kushoto), Wastara Juma (katikati) na Mzee Chilo (kulia) wakitoa burudani juu ya steji ya Dar Live.
![]()
Mzee Chilo akijiachia stejini na Wastara.
![]()
Mwigizaji Wastara Juma akiongea na mashabiki wake wa Dar Live.
![]()
![]()
Dk. Cheni naye akilonga na mashabiki wake wa Dar Live,.
![]()
...Mzee Chilo akicheza sambamba na mshereheshaji katika shoo ya leo, Pamela Daffa.
![]()
Mmoja wa wasanii wa Bongo Movie akiongea na mashabiki wake wa Dar Live.
![]()
![]()
Wastara akiwapa tano mashabiki.
![]()
Mshereheshaji Pamela Daffa akifanya yake stejini.
![]()
Nyomi ikiwashangilia baadhi ya mastaa waliopanda stejini.