Quantcast
Channel: MWINYI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

CHEKI PICHA ZA VIDEO MPYA YA DIAMOND ALIYOSHOOT AFRIKA KUSINI.

$
0
0
Diamond anatarajia kutengeneza tena vichwa vya habari pale atakapoachia video ya wimbo mpya ‘Number 1′ aliyoshoot mwezi huu nchini Afrika Kusini. Video hiyo ambayo Diamond anasemekana kutumia zaidi ya shilingi milioni 50 kuikamilisha, imetengenezwa na kampuni ya Ogopa Videos ya nchini Kenya. Hizi ni screenshots exclusive walizopata bongo5


























CHANZO : BONGO5

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>