Quantcast
Channel: MWINYI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

ANGALIA PICHA 6 ZA TID AKILA BATA KWENYE MITAA YA U.K

$
0
0

T.I.D mkali wa long time kwenye bongoflava tangu enzi za Zeze, Siamini hadi leo hii na Kiuno na bado anamiliki headlines, wiki kadhaa zilizopita baada ya kumaliza msiba wa mshikaji wake Mangwea, alisafiri kwenda U.K kufanya show ambako huko pia ndio alifanya interview inayozungumziwa sana hivi sasa kwenye mitandao pale alipokiri hadharani kwamba huwa anavuta bangi, zifuatazo ni pichaz za jinsi Mzee mnyama T.I.D akiwa kwenye mitaa mbalimbali ya U.K

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>