
Clouds TV ambayo inapatikana kwenye ving’amuzi mbalimbali Tanzania, inayo furaha kukupa taarifa kwamba hii ni show mpya ambayo itaanza kuonekana 1st April 2014 na itakua ni Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa kumi na mbili mpaka saa tatu asubuhi.
Inaitwa 360… so kwa info zaidi jiunge na @Clouds_TV on twitter mtu wangu
Inaitwa 360… so kwa info zaidi jiunge na @Clouds_TV on twitter mtu wangu
Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.