Quantcast
Channel: MWINYI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

SHEIKH PONDA AJERUHIWA VIBAYA BAADA YA KUPIGWA RISASI KWENYE MHADHARA

$
0
0
Inasemekana leo mjini Morogoro shehe Ponda amepigwa risasi na polisi .

Dhahama hiyo imempata baada ya kushuka kwenye tax ambako kulikuwa leo akiendesha mhadhala baada ya mhadhala huo kukawa kama kuna maandamano kueleke barabarani, gafla polisi walitokea na kuanza kutawanya wakati huo yeye alikuwa hayupo .

Ndipo mda mdogo akawasili akashuka na ndipo akapigwa risasi za kutosha.

Source:Jamii forums

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>