Quantcast
Channel: MWINYI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

MADEE ATEMBELEA KABULI LA NGWEA KIHONDA MKOANI MOROGORO

$
0
0

Hapa Madee akifanya ibada
Msanii toka kundi la Tip Top Conection Madee au rais wa Manzese , mapema leo ametembelea kabuli la mwanamuziki m,wenzake Albert Mangwea Mjini Morogoro.



Madee akiwa haamini kunachoendelea
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mwanamuzimki toka mkoani Morogoro Dayna Nyange nkufanya hivyuo siku chace zilizopita ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani


Madee alikuwa kwenye show mjini Morogoror katika ukumbi wa Nyumbani Park, ndipo baada ya kumaliza show yake , asubuhi alifanya maamuzi hyo ya kutembelea na kufanya ibada katika kabuli la Mangwea


Kwembe Tall na Eddie Masali walimsindikiza Madee Makabulini





Hili ndilo kabuli lililolazwa Mwili wa Albert Mangwea


Mungu ampumzishe kwa amani.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>