Quantcast
Channel: MWINYI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

DIAMOND PLATNUMZ ALIVYONOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV

$
0
0

Prezida wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza show wake Roma Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake kutoka kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania,


Mzuka unazidi kupanda Diamond Platnumz asaula koti lake.

Balozi akimshukuru Diamond kwa kuwezesha kunogesha usiku wa Uhuru wa Tanzania Bara na pia aliwashukuru wadhamini wa sherehe hiyo ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Diamond akizidi kuwapa burudani mashabiki wake

Shabiki akicheza wimbo wa mdogo mdogo

Shabiki akijumuika na Diamond kwenye jukwaa.

Shabiki akipagawa akitaka kumgusa Diamond.

Mvua ya noti ikimnyeshea Diamond























































































 
Asante kwa kutembelea MWINYI BLOG naomba ubofye HAPA kuingia kwenye page yangu ya facebook na kulike page ili uendelee kupata burudani na matukio ya hapa na pale.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3319

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>