Rose Ndauka akiwa ameambatana na Meya wa Ilala, Jerry Slaa pamoja na baadhi ya wanafunzi na wasanii wenzake kufanya usafi eneo la Mnazi Mmoja ikiwa ni kampeni ya kufanya usafi jiji zima aliyoianzisha kwa kujitolea kuwa balozi wa usafi
MSANII wa filamu nchini Rose Ndauka akiwa na baadhi ya wasanii wenzake pamoja na Meya wa Ilala Jerry Slaa akifanya usafi eneo la Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, ikiwa ni moja ya uzinduzi wake wa kampeni ya 'Amka Badilika, Nga'risha Tanzania'.
Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.