
Usiku wa kuamkia leo ndani ya mgahawa wa kimataifa Nyumbani Lounge kulikuwa na show kali sana kati ya Lady Jay Dee akiwa na Machozi Band pamoja na Grace Matata. Watu walikuwa ni wengi sana na kila mmoja alifurahia show hii nzuri. Picha zote na DJChoka.

















Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.