
Ni kuanzia saa tatu na nusu ndani ya EATV hapa Mbonie wa The Mboni Show huku bondia Mada Linus Maugo (Super Middleweight) au unaweza kumuita Mbunge mtarajiwa katika chama cha CHADEMA. Pia utamuona Muandaaji wa mapambano ya ngumi anaitwa Muddy Bawazir au Mbunge mtarajiwa katika chama cha CCM.
All pictures by DJ CHOKA.




























Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.